
Enable Javascript in your browser to browse the full media gallery
Verse 1
nieleze vipi mimi ntaweza kuishi bila wewe
ukiniacha ukienda zako, penzi wewe
kama ni ukweli, yale nasikia kwa majirani
ya kwamba utakuja kwenda zako
uliniahidi, tutakuwa tukijadiliana
na maswali yangeleta utata
kwa nini chinichini
unanificha yanayokusinya
lakini unayosema, ni majirani
kwa nini kando kando
unanificha yanayokuudhi
lakini unayateta kwa marafiki
ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby
Chorus
nakuomba please ubaki nami
nasema penzi
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
ya kuanza tena
tunayo nafasi
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
haturudi nyuma kamwe
Juliana wee
Verse 2
watu wanasema kama karibuni wee unaoa tena
ya kwamba nianze kujipanga
si ukweli, nimekataa
ni tahadhari kubwa kwangu, na unanitisha
sijui nimekosea wapi
uliniahidi
kama kila jambo lote la nyumbani
ni muhimu kuliweka wazi
nikukii shenge
uguma vulige ukalaza
kandu sikungu punda
nikukii ukundo
ku munee mujinya
kisha mapinu punda
ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby
Chorus
nakuomba please ubaki nami
nasema penzi
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
ya kuanza tena
tunayo nafasi
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
haturudi nyuma kamwe
© Kidum, Juliana
Haturudi nyuma means Let's not retreat
lyrics from kenyanlyrics.com
Related | ||
|---|---|---|
| Museke African artistes | Juliana Kanyomozi, Kidum | |
| Museke African song lyrics | Nabikoowa, Kibaluma, Kanyimbe, Usiende mbali, Karibia, Amosozi y'urukundo | |
Categories











Post new comment